Mtibwa Sugar FC Forum
Forum Guidelines - Must Read
Please read here before posting any reply
To post any reply in this forum you have to be a member and login.
If you are not a member please register or login.
 
Home Register Login  
 
 
Topic & Reply  
 


By Webmaster
1 Replies
MTUMIE KADO UPATE USINGIZI.
On 2009-11-11 21:06:28
Kufuatia kucheza vibaya kwa magolikipa wanaoteuliwa na mwalimu Marcio Maximo kwenye kikosi cha timu ya taifa huku wapenzi wengi wa mpira nchini wakiendelea kumlilia Juma Kaseja sakata la golikipa anayetakiwa kusimama kwenye milingoti mitatu ya timu ya taifa linaendelea kuwa zogo kila kukicha Maximo anaonekana kuziba masikio na hataki kuyamaliza na Kaseja ili kumrejesha golikipa huyu kipenzi cha watanzania Stars lakini webmaster wa mtibwasugar.com analo wazo kwa maximo.... MTUMIE KADO UPATE USINGIZI.
webmaster anaamini kuwa endapo Maximo atamtumia Shaabani Kado, basi bila shaka atapata usingizi toka kwa wanaompinga kwani uwezo wa Kado kwa sasa ni wa kiwango cha juu na hauna tofauti na kaseja. Kado anaaminika kuwa ndiye golikipa bora kabisa nchini kwa sasa, mshindi huyu wa tuzo la golikipa bora mwaka jana ambaye ameingongoza Mtibwa Sugar kushika nafasi ya pili kwenye ligi kuu huku ikitwaa kombe la Tusker na Ngao ya Hisani ana kila sifa na Maximo hana budi kumtumia kama golikipa wake namba moja kwa sasa
changia mawazo yako hapa

 
 


Reply By chola
On 2010-07-29 11:14:12
MTUMIE KADO UPATE USINGIZI.
On 2009-11-11 21:06:28
Post Reply

 


  Forum Stats  
 
LATEST FORUM TOPICS

MTUMIE KADO UPATE USINGIZI.
Welcome to Mtibwa Sugar FC forum
MOST COMMENTED TOPICS

MTUMIE KADO UPATE USINGIZI.
LATEST COMMENTS

chola